kuna mtu anaeteuliwa na serikali yeye kazi yake ni kuhakikisha sheria za kodi zinafuatwa lakini pia kama kuna mgogoro kati ya mlipa kodi na mkusanya kodi basi huo mgogoro utafikishwa kwake kwa utatuzi zaidi, kwa lugha ya kitaalamu anaitwa (tax ombudsman service)