kama tulivyo sema mwanzoni kuwa kodi inakuza uchumi lakini hiyo hiyo kodi inaporomosha uchumi, hasa pale kodi inapowekwa na mamlaka husika bila kuangalia hali ya uchumi ya walipa kodi, kodi ikiwa kubwa sana walipa kodi wengi watashindwa kulipa kodi na hatimae serikali itakosa fedha ya kuweza kuendeshea miradi ya kimaendeleo na hatimae kushuka kwa uchumi.