Kisheria kwa wale ambao kumbukumbu zao za umiliki wa ardhi tayali zilisha ingizwa kwenye kompyuta wanatakiwa wakumbuke namba ya kumbukumbu ya kulipia yenye tarakimu sita, au wengine wanatakiwa kuwa na risiti/stakabadhi ya mwisho ya malipo na nakala ya hati au barua ya toleo.