Kwa ujumla ardhi yote ya Tanzania ni mali ya Watanzania wote na Raisi ndiye msimamizi na mdhamini mkuu wa ardhi kwa niaba ya wananchi wote.
Kwa ujumla ardhi yote ya Tanzania ni mali ya Watanzania wote na Raisi ndiye msimamizi na mdhamini mkuu wa ardhi kwa niaba ya wananchi wote.