Kifungu cha 15(3) kimeweka wazi kuwa kama mfanyakazi haelewi maelezo yaliyoandikwa , mwajiri atapaswa kuhakikisha kwamba maelezo yaliyomo katika mkataba yanafafanuliwa kwa mfanyakazi kwa kiwango ambacho kitamwezesha mfanyakazi kuelewa.